MAMBO YANAYOHUSU IMANI

           AMBAYO NI MSINGI WA USHIRIKA WETU

                                   A Statement of The Faith forming our Basis of Fellowship

 

                                    na wa Mafundisho Imekataliwa & Amri za Kristo

                   including the Doctrines to be Rejected & The Commandments of Christ

                          

 

           MSINGI - Kuwa  kitabu   kijulikanacho  kama  Biblia,     chenye  Maandiko           ya

           Musa, Manabii, na Mitume,      ndicho chenye elimu  au habari kuhusu Mungu na

           nia  Yake   wakati  huu   au  ipatikanayo  duniani,           na  kimetokana  uongozi wa

           pumzi ya Mungo takita waandishi,           na  haina  kosa  lotote katika sehemu zote,

           isipokuwa makosa  ambayo yaweza kupatikana  kutokana    na   kunakili   vibaya 

           au tafsiri    (2 Tim. 3:16;  1 Kor. 2:13;  Ebr. 1:1; 2 Pet. 1:21; 1 Kor. 14:37; Neh.

           9:30; Yoh. 10:35).

 

                                                   UKWELI WA KUPOKELEWA

           I-Kuwa Mungu wa pekee wa kweli  ni   yule  aliyefunuliwa  kwa  Ibrahimu,      Isaka

              na Yakobo,  kwa kutokea malaika,  na  kwa  Musa kupitia kwa mwali      wa moto

              ambao  haukuteketeza  kijiti  na  pia  kwenye  mlima  wa  Sinai,  na  aliyejifinua

              Mwenyewe katika  Bwana Yesu Kristo, kama  Mungu  mkuu aishie kwa uwezo

              wake mwenyewe,  BABA MMOJA, aishiye katika nuru  isiwoyeza kukaribiwa,

              lakini  yuko kila  mahali  kwa  Roho  Yake,  ambayo  ni sehemu ya  nafsi Yake,

              mbinguni.  Kwa  uwezo  wake  mwenyewe,  ameumba mbingu na nchi,    na vyote

              vilivyomo (Isa. 40:13-25; 43:10-12; 44:6-8;  45:5;  46:9-10; Ayubu 38, 39 na 40;

              Kumbu. 6:1-4;  Marko 12:29-32;  1 Kor. 8:4-6;  Efe. 4:6; 1 Tim. 2:5;   Neh. 9:6;

              Ayubu 26:13;  Zab. 124:8;  146:6;  148:5;  Isa. 40:25-27;   Yer.  10:12-13;      27:5;

              32:17-25;   51:15;    Mdo. 14:15;  17:24;   1 Nya. 29:11-14;   Zab. 62:11;    145:3;

              Isa. 26:4;  40:26;   Ayubu 9:4;  36:5;    Zab. 92:5;  104:24;  147:4-5;      Isa. 28:29;

              Rum. 16:27;   1 Tim. 1:17;  2 Nya. 16:9;   Ayubu 28:24;  34:21;    Zab. 33:13-14;

              44:21; 94:9;  139:7-12;  Mit. 15:3;  Yer. 23:24; 32:19;  Amosi 9:2-3;    Mdo. 17:

              27-28;    Zab. 123:1;   1 Fal. 8:30-39; 43, 49;    Mt. 6:9;   1 Tim. 6:15-16;   1:17).

          II-Kuwa  Yesu  wa  Nazareti  alikuwa Mwana  wa Mungu,     aliyezaliwa  na  Bikira

              Maria  kwa  uwezo  wa  Roho  Mtakatifu,   bila  mwingilio  wa  mtu  mume,      na

              baadaye akapewa roho yule pasipo kipimo,  wakati  wa  ubatizo wake      (Mt. 1:

              23; 1 Tim. 3:16; Mdo. 2: 22-24, 36; Mt. 1:18-25; Luka 1:26-35; Gal. 4:4;    Isa.

              7:14; Mt. 3:16-17; Isa. 11:2; 42:1; 61:1;  Yoh. 3:34; 7:16; 8:26-28; 14:10-24).

         III-Kuwa kufunuliwa  kwa Yesu wa Nazareti  duniani  kulihitajika  kwa  sababu   ya

               mahali  na hali walimokuwemo binadamu  kwa  ajili  ya  mambo      yaliyohusiana

               na  mtu  wa  kwanza  (1 Kor. 15:21-22;  Rum. 5:12-19;   Mwa. 3:19;    2 Kor. 5:

              19-21).

        IV-Kuwa  mtu  wa  kwanza  alikuwa  Adamu,    aliyeumbwa na     Mungu kutoka kwa

              mavumbi  ya  ardhi  kama  nafs i hai,   au  mwili  wa kawaida wenye  uhai,    hiki

              kilichoumbwa  kilikuwa   "chema sana"  kwa   namna  na  hali,    na  akawekwa

              chini ya sheria ambayo kwayo  kuendelea  kwa uhai kurgetegemea utii     (Mwa

              2:7; 18:27; Ayubu 4:19; 33:6; 1 Kor. 15:46-49; Mwa. 2:17). 

          V-Kuwa Adamu aliijunja sheria hii,     na  akaamuliwa  kuwa  hafai kuwa  na uzima

              wa milele,    na  akahukumiwa  kurudi  ardhini  alikotolewa - hukumu   iliyomna-

              jisi au kumchafua  na ikawa  sheria  ya  hali  yake  ya kimwili,       na  ikapitishwa

              kwa uzao wake wote      (Mwa. 3:15-19, 22-23; 2 Kor. 1:9; Rum. 7:24;2 Kor. 5:2-

              4; Rum. 7:18-23; Gal. 5:16-17;  Rum. 6:12; 7:21; Yoh. 3:6;  Rum. 5:12;    1 Kor.

              15:22; Zab. 51:5; Ayubu 14:4).

        VI-Kuwa  Mungu   kwa  huruma  Yake,     alibuni  mpango    wa  kurudisha hali       ya

              kwanza ambayo,      bila kuweka kando sheria Yake ya haki na ipasayo dhambi

              na mauti,     mwishowe  ingemwokoa  mwanadamu kutoka kwa maangamizi,    na

              dunia ijazwe na watu wenye  kuishi  milele bila dhambi   (Ufu 21:4; Yoh. 3:16;

              2 Tim. 1:10; 1 Yoh. 2:25; 2 Tim. 1:1; Tito 1:2; Rum. 3:26; Yoh. 1:29).

       VII-Kuwa  Alianzisha  mpango  huu  mpango  huu  kwa  kutoa  ahadi   kwa    Adamu,

              Ibrahimu, na Daudi   na  baadaye  akaueleza  vizuri  zaidi  kupitia  kwa manabii

              (Mwa. 3:15;  21:18;  Zab. 89:34-37;  33:5;  Hos. 13:14;  Isa. 25:7-9;   51:1-8;

              Yer. 23:5).

       VIII-Kuwa miadi hii ilikuwa na maana  au kiini kwa  Yesu  Kristo,   ambaye angeto-

              kana na uzao  uliohukumiwa  wa Ibrahimu na Daudi,    na ambaye,    ingawa ali-

              kuwa amevikwa  hali  yao ya hukumu,      angepata  nafasi  ya  ufufuo kwa kutii

              kabisa, na,       kwa kufa afutilie mbali sheria ya hukumu hiyo kwa nafsi yake na

              kwa  wote  amboa  wangemwamini   na   kumtii     (1 Kor. 15:45;  Ebr. 2:14-16;

              Rum. 1:3; Ebr. 5:8-9; 1:9; Rum. 5:19-21; Gal. 4:4-5;  Rum. 8:3-4;      Ebr. 2:15;

              9:26; Gal. 1:4; Ebr. 7:27; 5:3-7; 2:17; Rum. 6:10; 6:9; Mdo. 13:34-37;     Ufu 1:

              18; Yoh. 5:21-22, 26-27; 14:3;Ufu. 2:7; 3:21; Mt. 25:21; Ebr. 5:9;   Marko 16:

              16; Mdo. 13:38-39; Rum. 3:22; Zab. 2:6-9; Dan. 7:13-14; Ufu. 11:15; Yer.23:

              5; Zek. 14:9; Efe. 1:9-10).

        IX-Kuwa ni  kazi  hii  iliyosababisha  kuzaliwa  kwake  Kristo  kimuujiza      na   mama

              wa  kibinadamu,   akaweza  kujitwika  mzigo   wa   hukumu yetu, na,       kwa waka-

              ti huo huo,   akawa  mwenyewe  hana dhambi,  na  kwa  hivyo,       akawa na uwezo

              wa kuinuka  kutoka  kwa  mateso  ya  mauti  iliyohitajika  wema au  haki    yake

              Mungu  (Mt. 1:18-25;  Luka 1:26-35;  Gal. 4:4; Isa. 7:14; Rum. 1:3-4; 8:3;

              2 Kor. 5:21; Ebr. 2:14-17; 4:15).

          X-Kuwa akiwa mzaliwa wa Mungu hivyo,         akiwa  ndani yake  na kutumiwa na

              Mungu kupitia kwa     Roho Mtakatifu akaaye ndani,     Yesu alikuwa Imanueli,

              Mungu pamoja nasi,      Mungu  aliyef  unuliwa   katika  mwili       -  ingawa katika

              maisha yake ya kibinadamu,     alikuwa  na  maumbile    sawa  na    mtu asiye   na

              maisha ya milele,    mtu wa kufa,   aliyetokana  na  mwanamke,  wa nyumba        na

              mbari ya Daudi,   na kwa hivyo  mwenye  mateso,   katika  siku  zake  za   mwili,

              kutokana na matokeo  ya  makosa ya Adamu,    ikiwemo mauti iliyowajia    watu

              wote, aliyoshiriki kwa kuma maubile yaliyofanana nao  (Mt. 1:23; 1 Tim. 3:

              16; Ebr. 2:14; Gal. 4:4; Ebr. 2:17).

        XI-Kuwa ujumbe aliouleta kwa watu wa kwake,     yaani Wayahudi,     kutoka  kwa

              Mungu,     ulikuwa   ni   wakuwaita  waje  watubu  na  waache kazi zote za uovo,

              madai  yake juu ya wana  uliotakana  na  uungu  na  utawala  wake  juu  ya Wa-

              yahudi;        na  kutang  azwa  kwa habari  njema  kuwa   Mungu  atawarudishia

              ufalme  kupitia  kwake,     na   kuyatimiza   yote  yaliyoandikwa katika manabii

              (Marko 1:15; Mt. 4:17; 5:20-48; Yoh. 10:36; 9:35; 11:27; 19:21; 1:49; Mt.

              27: 11-42;Yoh. 10:24-25; Mt. 19:28; 21:42-43; 23:38-39;25:14 mpaka mwi-

              sho;  Luka 4:43;  13:27-30;  19:11-27;  22:28-30;   Mt. 5:17;   Luka 24:44).

       XII-Kuwa  kwa  kutoa  ujumbe huu,     aliuawa  na Wayahudi      na Warumi,    ambao

              walikuwa,    kwa vyo vyote vile,    vyombo vilivyotumiwa     na Mungu,   kutimiza

              kazi  iliyoazimiwa   tangu   hapo - kuharibiwa   kwa  dhambi  katika  mwili,      ku-

              pitia kwa mwili   wa  Yesu  kutolewa  mara  moja  tu,     kama kipatanisho kutan-

              gaza wema wa Mungu,   kama msingi wa ondoleo la dhambi.                 Wote wanaom-

              wendea   Mungu   kupitia   kwake   huyu    aliyesulubiwa,         lakini     aliyefufuka,

              mjumbe wa  uzao  wa Adamu ulioasi, husamehewa.         Kwa hivyo, kwa mfano,

              damu yake yatutakasa kutoka kwa dhambi (Luka 19:47; 20:1-16; Yoh. 11:

              45-53; Mdo. 10:38-39;13:26-29; 4:27-28; Rum. 8:3;Ebr. 10:10; Rum. 3:25;

              Mdo. 13:38; 1 Yoh. 1:7; Yoh. 14:6; Mdo. 4:12; 1 Pet. 3:18; 2:24; Ebr. 9:14;

              7:27; 9:26-28; Gal. 1:4; Rum. 3:25; 15:8; Gal. 3:21-22; 2:21; 4:4-5;   Ebr. 9:

              15; Luka 22:20; 24:26, 46-47; Mt. 26:28).

     XIII-Kuwa siku ya tatu,        Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,     na akampandisha

              mbinguni  ili  awe kuhani mpatanishi  kati   ya  Mungu  na  binadamu,       katika

              jitihada  ya  kuwakusanya  kati  yao  watu  ambao  wafaa   kuokolewa    kuamini

              na kutii ukweli  (1 Cor. 15:4; Mdo. 10:40; 13:30-37; 2:24-27).

     XIV-Kuwa  yeye  ni  kuhani  juu  ya  nyumba yake mwenyewe tu,    na haombei ulim-

              wengu mzima,    au wale wanaojidai kuwa wake hali wametupwa   kwa   ajili   ya

              kutotii.     Kuwa huwasaidia ndugu zake wanaokosea,    wanapokiri na kuziacha

              dhambi zao  (Luka 24:51; Efe. 1:20; Mdo. 5:31; 1 Tim. 2:5; Ebr. 8:1;  Mdo.

              15:14; 13:39; Ebr. 4:14-15;  Yoh.17:9; Ebr. 10:26; 1 Yoh. 2:1;   Mit. 28:13).

       XV-Kuwa  aliwatuma  mitume  wakatangaze  wokovu  katika yeye,     jina  la pekee

              chini ya mbingu kwalo wanadamu wapate kuokolewa  (Mdo. 1:8;Mt. 28:19-

              20; Luka 24: 46-48; Mdo. 26:16-18; 4:12).

     XVI-Kuwa   njia   ya   kupokea   wokovu  huu  ni  kwa  kuamini   injili     waliyoihubiri,

              na  kulichukua  jina  na  kufanya  kazi ya Kristo,         kwa   kuzikwa  majini,      na

              kuendelea  kwa  saburi  katika  kuyashika maagizo yote aliyoamuru,       na  ye

              yote  asihesabike  kuwa  rafiki  yake  isipokuwa   wale   tu   wanaoyatimiza    ali-

              yoamuru   (Mod. 13:48; 16:31; Marko 16:16; Rum. 1:16; Mdo. 2:38, 41;

              10:47; 8:12; Gal. 3:27-29; Rum. 6:3-5; 2:7; Mt. 28:20; Joh. 15:14).

    XVII-Kuwa injili ni mambo yanayohusu             "ufalme wa Mungu na Jina lake Yesu

              Kristo" (Mdo. 8:12; 19:8, 10, 20; 28:30, 31).

  XVIII-Kuwa  mambo   ya   Ufalme   wa   Mungu  ni  mambo  bayana   yaliyoshududiwa

              kuhusu Ufalme wa Mungu  katika  maandishi  ya  manabii  na  mitume,      kama

              inavyoelezwa katika mafungu an aya kumi na mbili zifuatazo.

  XXIX-Kuwa Mungu atausimamisha ufalme duniani,              "ufalme wa Bwana wetu na

              Kristo wake"(Dan. 2:44;7:13, 14;Ufu. 11:15;Isa. 32:1, 6; 2:3, 4;11:9, 10).

       XX-Kuwa  kwa  sababu  hii  Mungu  atamtuma  Yesu  Kristo  mwenyewe hapa      dun-

              iani mwisho wa siku za watu wa Mataifa  (Mdo. 3:20, 21; Zab. 102:16, 21;

              2 Tim. 4:1; Mdo. 1:9, 11; Dan. 7:13).

     XXI-Kuwa  ufalme  atakaousimamisha  utakuwa  ufalme  wa   Israeli   utakaorudish-

              wa,  katika  nchi  ile  ile  ufalme  huo    ulipokuwa hapo awali, yaani,  nchi    iliyop-

              ewa  Ibrahimu  kama  urithi  wa  milele  na  kwa  uzao wake (Kristo) kwa agano

              (Mika 4:6-8;Amosi 9:11, 15; Ezek. 37:21, 22;Yer. 23:3, 8;Mwa. 13:14, 17;

              Ebr. 11:8, 9; Gal. 3:16; Law. 26:42; Mika 7:20).

    XXII-Kuwa  kurudishwa  kwa  ufalme  kwa   Waisraeli   kutasababisha      kukusanywa

              kwa   wateule  wake   Mungu  lakini   taifa   lililotawanyika,   Wayahudi;     wata-

              pandwa  tena  katika  nchi  ya  baba  zao,  itakapokuwa  imekombolewa   kutoka

              kwa   "Ukiwa wa vizazi vingi"; kujengwa   tena   kwa     Yerusalemu  uwe    "kiti

              cha enzi cha Bwana"na mji mkuu ulimwenguni kote(Isa. 11:12; Yer. 31:10;

              Zek. 8:8;  Ezek. 36:34, 36;  Isa. 51:3; 60:15; 62:4;  Yer. 3:17;   Mika 4:7, 8;

              Yoeli 3:17; Isa. 24:23).

  XXIII-Kuwa     watawala  wa  ufalme   huo  utakaokuwa  umeimarishwa  watakuwa  nu-

              dugu  zake   Kristo,   wa   vizazi  vyote,    ambao  watatokana  na  ufufuo na ku-

              geuzwa  kwao,   na  kusanyiko,   wakiwa pamoja na Kristo  kama kiongozi wao,

              mkusanyiko wa "uzao wa Ibrahimu",         ambaye katika yeye mataifa yote ya-

              tabarikiwa, wakiwemo "Ibrahimu,   Isaka,   na Yakobo,   na manabii wote",  na

              wote katika vizazi vyao waliokuwa na uaminifu kama wao   (Dan. 12:2; Luka

              13:28;   Ufu. 11:18;  1 Thes. 4:15-17;  Yoh. 5:28, 29; 6:39, 40;   Luke 14:14;

              Mt. 24: 34, 46).

  XXIV-Kuwa  atakapofunuliwa au kuja Kristo,         na kabla ya ufalme kusimamishwa,

             wale  wenye  kuaminishwa  au  kutadiriki   (yaani,  wale wanaofahamu  mapenzi

              yake  Mungu,      na  wameitwa  kujishughulisha  na kazi hiyo),     waliokufa  na

              walio  hai—watiifu  na  wasio  tii—wataitwa  mbele   ya kiti chake  cha hukumu

             "kuhukumiwa kulingana na  kazi  zao"    na     "kupokea ijara ya  mambo aliyo-

              tenda  kwa  mwili,      kadiri   alivyotenda,     kwamba   ni   mema   au  mabaya"

              (2 Kor. 5:10;2 Tim. 4:1; Rum. 2:5, 6, 16; 14:10-12; 1 Kor. 4:5; Ufu. 11:18).

    XXV-Kuwa   wasio   waaminifu  watakuwa   katika  aibu  na "mauti ya pili",     na    waa-

              minifu   watavikwa   kutoharibibika,    miili  ya  kuishi  milele,    na kupewa hesh-

              ima  ya  kutawala  pamoja  ya  Yesu   kama  warithi   pamoja  naye   wa   ufalme,

              warithi nchi pamoja,    na washiriki usimamizi  wa  mamlaka  yake Mungu    kati

              ya watu katika kila jambo (Mt. 7:26; 8:12; 25:20; Dan. 12:2; Gal. 6:8; 5:21;

              2 Thes. 1:8; Ebr. 10:26-28; 2 Pet. 2:12; Ufu. 21:8; Mal. 4:1;  Zab. 37:30-38;

              Mit. 10:25-29;1 Kor. 15:51-55; 2 Kor. 5:1-4; Yak. 1:12; Rum. 2:7;      Yoh. 10:

              28; Mt. 5:5;Zab. 37:9, 22, 29; Ufu. 5:9;Dan. 7:27; 1 Thes. 2:12; 2 Pet. 1:11;

              Ufu. 3:21; 2 Tim. 2:12; Ufu. 5:10; Zab. 49:7-9; Luka 22:29, 30).

  XXVI-Kuwa Ufalme wa Mungu,   ukiwa hivi,     utaendelea kwa miaka elfu moja,      ka-

              tika muda huo dhambi   na  mauti   itaendelea  kati  ya raia wa nchi,     ingawa ni

              kwa kiwango cha chini sana kuliko wakati huu  (Ufu. 20:4-8; 12:15; Isa. 65:

              20; Ezek. 44:22, 25; 1 Kor. 15:24, 28).

 XXVII-Kuwa   sheria   itaimarishwa   itakayowaendea   mataifa   yote    ili   "ikwafunze

              haki",     matokeo yake yatakuwa kumalizwa kwa vita duniani;    na "dunia ita-

              jazwa maarifa ya utukufu wa BWANA,            kama  maji  yaifunikavyo  bahari"

             (Mika 4:2; Isa. 42:4; 11:1-5; 2:4; Hab. 2:14).

XXVIII-Kuwa juhudi ya Ufalme itakuwa kuwaangamiza adui wote,                  na hatimaye

              mauti yenyewe,                kwa kuwafungulia mataifa yote njia ya uzima,        ambayo

              wataingia kwa imani,           katika miaka hiyo elfu moja,        na  (haswa)  mwisho

              wake (1 Kor. 15:25, 26; Ufu. 21:4; 20:12-15; Isa. 25:6-8).

   XXIX-uwa   mwisho  wa   miaka   elfu  moja,         kutakuwepo  na  ufufuo na hukumu ya

               jumla,        matokeo  yake  ni kuangamizwa  kwa waovu wote,   na  kupewa  uzima

              wa  milele wale ambao watakuwa wamejipatia  jina la sifa            (chini ya neema

              ya Mungu) ya kuishi milele katika hiyo miaka elfu moja     (Ufu. 20:11-15;

              1 Kor. 15:24).

    XXX-Kuwa serikali itatolewa na Yesu,      apewe Baba,    atakayejifunua kama "yote

              kwa wote"; wakisha  rejeshwa katika  urafiki na Mungu    (1 Kor. 15:28).

                                     mbili   faharasa